Thursday, April 25, 2024

Hiyo Cabinet meeting ilikuwa mtego, Mudavadi now claims

Amani National Congress (ANC) party leader Musalia Mudavadi now claims that the Cabinet meeting chaired by President Uhuru Kenyatta on Thursday was a political target for Deputy President William Ruto.

Mudavadi has since argued that the main aim of the meeting was to ensure that the DP missed attendance so that he could be accused of skipping government functions.

He further hailed Ruto for attending the meeting saying that he made the right decision to attend the meeting.

Huu ulikuwa mtego, walikuwa wanataka waseme tumeitisha Cabinet lakini yeye hakukuja; lakini yeye naye amesema nitakuja, na msimamo wake sisi tuna imani atasimama imara na Wakenya

Musalia Mudavadi

“Ruto ni mwerevu na anajua ata wakiitisha Cabinet baada ya miaka mbili ati wajaribu kusafisha vitu, Ruto atajua vile anazungumza huko ili asihusishwe na matope ya watu wengine,” said Mudavadi.

He went state, “Huu ulikuwa mtego, walikuwa wanataka waseme tumeitisha Cabinet lakini yeye hakukuja; lakini yeye naye amesema nitakuja, na msimamo wake sisi tuna imani atasimama imara na Wakenya.”

Mudavadi further claimed that the State held the meeting after the Kenya Kwanza alliance raised complains that no cabinet meeting had been held for more than a year.

“Ukweli wa mambo ni kwamba wameshtuka baada ya Kenya Kwanza kusema nyinyi mnalaumu wengine na hamjaitisha Cabinet. Ndio wameshtuka na kuitisha Cabinet haraka, kufunga macho ya Wakenya,” he furthered.

Austine Ogalohttp://www.lakeregionbulletin.co.ke
Lake Region Bulletin is your one stop multi-media platform for news and stories from the Lake Region counties of Kisumu, Siaya, Homabay ,Migori, Siaya, Kissi,Nyamira, Vihiga, Kakamega, Busia, Bungoma, Trans Nzoia, Nandi, Kericho and Bomet email:ogalo@lakeregionbulletin.co.ke austineogalo02@gmail.com

Related Articles

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Latest News